Monday, September 16, 2019

RAFIKI NDIYO HAKIMU WA MAISHA YAKO


Watu wengi wamekuwa kama vipofu katika
Kuchagua watu wa kuwa nao karibu ambao
Ndiyo marafiki..RAFIKI ni MTU pekee ambaye
Anaweza akakufanya ufikiri na utende kama
Anavyo tenda na hata kimuonekano.
Hii ni kwasababu Rafiki ndiye anayetumia mda mwingi kuwa nawe hivyo ni lazima kuna mda
Utafanya afanyavyo na utakuwa kama alivyo
KUWA MAKINI KATIKA KUCHAGUA MARAFIKI.
Kwa mfano mwanafunzi akiwa na urafiki na MTU anaye fanya vyema darasani
Pia huweza kufanya vyema ama huweza kumbadili anayefanya vyema hadi kwenye kufanya vibaya.

No comments:

Post a Comment

BODI YA MIKOPO KUTANGAZA MAJINA RASMI

Dar es Salaam.  The Higher Education Loan Board (HESLB) has said October 15 and 17, 2019 will be announced the names of students who will...